Shairi ni Arudhi
Arudhi katika fasihi ni sehemu muhimu katika elimu ya utunzi wa mashairi. Hasa arudhi inaelezea vipengele vya mashairi kama beti, idadi ya mishororo, vina na mizani. Shairi ni Arudhi
Kitovu cha Ushairi, Washairi na Mashairi
Arudhi katika fasihi ni sehemu muhimu katika elimu ya utunzi wa mashairi. Hasa arudhi inaelezea vipengele vya mashairi kama beti, idadi ya mishororo, vina na mizani. Shairi ni Arudhi
Ni wakati wa washairi kuwa makini ili kutetea fani ya ushairi. Wengine wametunga mengi yasiyofuata arudhi wakiyaita mashairi. “Pamoja tuunganeni, tuokoe ushairi.” Tuokoe Ushairi
Usinidharau kwa kunitazama tu. Unavyoniona kama sifai, wapo wengine wanaoujua wema wangu. Ni kwako sina la wema, wengine wanitamani! Wengine Wanitamani!
Sijui kama unamfahamu vema jirani yako au mtu mnayeshirikiana naye kwa karibu mno. Na suala la “Nyumba Kumi” linapotajwa sijui linaibua hisia gani kwenye fikra zako. Baadhi ya watu tunaoishi pamoja, huenda wasikufae kwa chochote au lolote.
Wengine watakutumia, wakunongeshe na kukudhalilisha, hasara kwako. Wengine ni wanafiki wasio na utu, wasiokutendea lolote la hisani. Hata kama utamwamini aliye karibu nawe, usimtegemee wala ukadhani ni malaika kwako. Hili halimaanishi wewe usimtendee wema. Tenda wema nenda zako.
Shairi lifuatalo linaelezea kwa kina suala hili. Mhusika anahofia kwamba mtoto wake ataumwa na jibwa la jirani. Hili lalinganishwa na maovu anayoweza kufanyiwa na jirani yake. Ni shairi linaloonya kuhusu ushirikiano wako na jirani au mwandani wako wa karibu. Linamfahamisha hatari zinazomkabili kuwa na jirani asiye na matendo mema. Jibwa Litaniumia Toto
Jambo moja la msingi taifa kuendelea ni Amani. Wanasiasa watakuwa na maoni mbadala, ila hilo ndilo jambo la muhimu. Lisome hili shairi uelewe zaidi. La Muhimu ni Amani