Yesu Ndiye Njia
“Yesu akamwambia, Mimi ndimi njia, na kweli, na uzima; mtu haji kwa Baba, ila kwa njia ya mimi.” Yesu Ndiye Njia
Kitovu cha Ushairi, Washairi na Mashairi
“Yesu akamwambia, Mimi ndimi njia, na kweli, na uzima; mtu haji kwa Baba, ila kwa njia ya mimi.” Yesu Ndiye Njia
Awapo nazo tungo, mshairi hataikosa riziki. Wengi hudharau ushairi wakisema haulipi. Shairi hili linampa moyo mshairi chipukizi na kumwelezea kuhusu ushairi unaolipa. Mshairi Hafi Njaa
Wasemavyo “Elimu ni mambo yote” ni sahihi. Kila jambo linalofanyika duniani hutegemea elimu. Walioko shuleni watie bidii. maisha yao itategemea elimu waliyoipata shuleni. Ulishindwa ya Vitabu
Anapozuru nchini watu humsifu na kumumiminia swifa tele. Wasije kumwabudu kama ndiye mungu wao. furahia uhondo wa shairi hili… Kuzuru Kenya si Hoja
Mapenzi ni jambo la mtu na hiari yake. Hulazimishwi kumpenda huyu ama yule. Wengine watakuvunja moyo na kukwambia unayempenda si mwema. Kila mtu ana ila zake. Hakuna mwanadamu aliye kamili asilimia mia moja. Unapozitambua ila za mke wangu, jua na usinipashe kwa kuwa nilizijua kitambo. Wengine watakupasha mengi yasiyo na maana wala ukweli kuhusu mpenzi wako ili umwache amtongoze. Mara nyingi udaku hupotosha na kuangamiza wawili wapendanao ama hata familia.
Shairi lifuatalo la tarbia lina mengi ya kufahamisha. “Sijali mnavyomwita, kwangu huwa maridhia”. Hata mseme, mmbadike majina ama mmdharau, kwangu nampenda tu. Mpenzi wa mtu ni mpenzi wake tu yawache ya kwao huyawezi. Hebu lisome na utafari kwa kina. Ufurahiae uhondo wa shairi hili la Kimani wa Mbogo analoliita “Kwangu huwa maridhia”. Kwangu Huwa Maridhia