Nyumba Usiyoilala
Watakusema na wakudharau lakini hayo hayatabadilisha maisha yako. Shairi hili linawashauri wenye tabia kama hizo kukoma na kushughulikia mambo yao binafsi. Lisome kwa makini. Nyumba Usiyoilala
Kitovu cha Ushairi, Washairi na Mashairi
Watakusema na wakudharau lakini hayo hayatabadilisha maisha yako. Shairi hili linawashauri wenye tabia kama hizo kukoma na kushughulikia mambo yao binafsi. Lisome kwa makini. Nyumba Usiyoilala
Werevu huwa na wingi wa busara. Ni muhali kuwapata wakifarakana au wakigombana. Tofauti zao husuluhishwa bila ghasia. Hukosi wengine wasiolielewa hili. Wapo wasioithamini heshima wala busara. Hufarakana pasi na sababu. Lisome shairi hili uelewe ukweli huu. Werevu Huelewana
“Walakini habari ya siku ile na saa ile hakuna aijuaye hata malaika walio mbinguni wala mwana ila Baba peke yake.” Siku Hiyo ya Kiama
Wanaopayuka huudhi mno. Watasema chochote bila kujali wala kuchunguza. Huwa ndio asili ya lolote linalosemwa bila kujali. “Kidomodomo waudhi, kupayuka kwanongesha!” Kupayuka Kwanongesha
Wapo baadhi wa watu wenye sifa tele. Pesa hawana ila ni matajiri wa sifa na umaarufu. “Swifa zako si adimu, kama kito cha thamani.” Swifa Zako si Adimu