Ujuvi Wake Waudhi
Hukosi mjuaji. Kila jambo analijua. “Ujuvi wake waudhi, hakunalo halijuwi!” Ujuvi Wake Waudhi
Kitovu cha Ushairi, Washairi na Mashairi
Hukosi mjuaji. Kila jambo analijua. “Ujuvi wake waudhi, hakunalo halijuwi!” Ujuvi Wake Waudhi
Imekuwa kawaida yao. Lazima wachukue hongo kukuhudumia? Aidha unapokosea lazima umpe chai? Afande rushwa sitoi,naogopa ufisadi! Afande Hongo Sitoi
Mwanadamu hulipenda sana tunda hili kuliko mengine. Ni tunda lenye sumu ingawa tamu. Tunda Tamu
Gazeti la Taifa Leo nchini Kenya limekuwa katika mstari wa kwanza kukuza Kiswahili na kuwapa motisha washairi chipukizi. Hili hapa shairi la kusifia gazeti hilo. Napongeza Taifa Leo
Siku ya kiama ikifika, kunao watalia. Wapo baadhi ambao wakuwa na furaha pia. Je, wewe utakuwa upande gani? Angani Ange Kuenga