Kwaheri Magufuli
Kiongozi wa watu anapoondoka, huwa ni majonzi tele kwa wananchi , jamhuri na dunia yote kwa jumla. Halo ndivyo ilivyo tunapoomboleza kifo cha raisi wa tano wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Mungu ailaze roho yake Rais John Pombe Magufuli mahali pema peponi. Kwaheri Magufuli