Kina Mama wa Neema
Je, ni wema gani umewahi kumtendea mwenzako? Je, ni wema gani ambao utakumbukwa nao? Litazame shairi hili linaowasifu kina mama wa neema. Kina Mama wa Neema
Kitovu cha Ushairi, Washairi na Mashairi
Je, ni wema gani umewahi kumtendea mwenzako? Je, ni wema gani ambao utakumbukwa nao? Litazame shairi hili linaowasifu kina mama wa neema. Kina Mama wa Neema
Piga moyo konde. Jipe nguvu maishani. Usife moyo, Mungu hatamsahau mja wake. Ninatangaza!
Kinda hulisha na kuongozwa. Hana uwezo wa kuongoza ama kulinda. Anapolinda kiota huenda kikawa mashakani. “Yawaje kinda alinda, kiotani mna nini?” Yawaje Kinda Alinda?
Ya dunia yasikutishe. Tena usijidai na ulicho nacho. Usione una mali tele ukawadharau wengine. Jua wapo wenye mali na hadhi. “Huna hadhi huna haki, ina wenyewe dunia.” Huna Hadhi Huna Haki
Wanapogoma, wataharibu mali na chochote kilicho karibu nao. Watachoma gari, kuiba na kuchukiza wananchi. Wanafunzi wana mengi, ya kila aina. Wanafunzi Wakigoma