Mwanakikosi Ayumbaye
Wakati mwingine askari hukosa ujasiri wa kutosa. Hutegemea silaha alizo nazo na Mungu wake tu. Kila wakati hujilinda na kujaribu kadri ya uwezo wake. Mwanakikosi Ayumbaye
Kitovu cha Ushairi, Washairi na Mashairi
Wakati mwingine askari hukosa ujasiri wa kutosa. Hutegemea silaha alizo nazo na Mungu wake tu. Kila wakati hujilinda na kujaribu kadri ya uwezo wake. Mwanakikosi Ayumbaye
Kuna baadhi ya wazee ambao hawapendi kamwe kuitwa wazee. Wangali bado hawajakubali kuwa uzee umewateka nyara na watotako kwa ujana hawarudi kamwe. Usimwite Nyanya
Wapo waotunga mashairi lakini jambo ni kwamba, wanatumia njia inayofaa? Washairi itawalazimu kukaa chini na kuzua mbinu zitakazoilinda fani hii kabla ya kuungua. Fimbo Niambie
Upungufu wa kinga mwilini ni jambo lililowatesa wengi. Hadi sasa, jambo hili limewaua wengi na wengine kuacha bila tumaini na maisha, kiasi cha kwamba kifo tu ndicho hatima. Bara la Kifo
Furaha huwa furaha wakati unaohitajika. Huwi na furaha kulazimishwa ila ni jambo linalotokana na mawazo yako. Bongo Zikichangamka