Nakupa Wangu Wasia
Tumaini la kila mzazi kwa mtoto ni kwamba atafaulu hatimaye. Hivyo basi, mzazi huwa na jukumu kubwa kumshauri mwanawe. Humrekebisha na kumwongoza kwa njia inayofaa bila kuchoka. Waadhi na Wasia wa kila mzazi! Nakupa Wangu Wasia
Kitovu cha Ushairi, Washairi na Mashairi
Tumaini la kila mzazi kwa mtoto ni kwamba atafaulu hatimaye. Hivyo basi, mzazi huwa na jukumu kubwa kumshauri mwanawe. Humrekebisha na kumwongoza kwa njia inayofaa bila kuchoka. Waadhi na Wasia wa kila mzazi! Nakupa Wangu Wasia
Kazi inapozidi, mwanadamu huumia kwa mawazo na kukosa muda wa kupumzika. Wapo baadhi ya watu ambao huelekea ufuoni mwa ziwa au bahari kubarizi. Ni Patulivu Ziwani
Wakati mwingine matukio huwa ni kinyume kabisa kuliko tunavyotegemea. Tunapoiona ishara ya mvua, si lazima mvua ikanyesha. Hivyo basi, tusiliweke tumaini kwa jambo moja tu, huenda ukafa moyo linapokosa kutimia. Si Lazima Itanyesha
Wakati mwigine huwa tunakosa maneno ya kutosha kuwaambia tuwapendao. Tunapokosa kuwapasha, huonekana kama tumewapuuza tu. Kwa beti tano tu hapa, ujumbe umefika. Una Mengi Kupendeka
Fikiri kuhusu mandhari yenye hewa safi. Kila mwananchi hupendezwa na eneo safi anakoishi. Lisome shairi hili lenye sifa si haba za jiji… Sifa za Jiji