Elimu Ni Mali
Waliosema masomo sio “Suruali” hawakuna na la kutafakari. Kwa sasa elimu ni mali na kila mtu ameuona umuhimu wake. Elimu Ni Mali
Kitovu cha Ushairi, Washairi na Mashairi
Waliosema masomo sio “Suruali” hawakuna na la kutafakari. Kwa sasa elimu ni mali na kila mtu ameuona umuhimu wake. Elimu Ni Mali
Wapo waotunga mashairi lakini jambo ni kwamba, wanatumia njia inayofaa? Washairi itawalazimu kukaa chini na kuzua mbinu zitakazoilinda fani hii kabla ya kuungua. Fimbo Niambie
Upungufu wa kinga mwilini ni jambo lililowatesa wengi. Hadi sasa, jambo hili limewaua wengi na wengine kuacha bila tumaini na maisha, kiasi cha kwamba kifo tu ndicho hatima. Bara la Kifo
Kupanda mchongoma kushuka ndio ngoma. Mchongoma ni mti wenye mimba ambao upandwa kama ua mwisho wa shamba. Ukiupanda uingie shamba la mtu ili ufuate matunda fulani basi wakati shuka na kuondoka utadungwa na mimba mpaka utajutia kitendo cha kupanda. Kuupanda Mchongoma
Unapomtakia mwenzako mema, bila shaka atafurahia na kuwa na moyo wa kuendelea licha ya changamoto atakazozipata. Koja la Ushindi