Upujufu Jandoni
Wanapoingia jandoni, ni tarajio la kila mtu kwamba watatoka wakiwa na hulka zinazoandamana na mienendo wa wanadamu wanaoithamini taathima. Je, huo ni ukweli? Soma shairi hili linalofafanua mengi. Upujufu Jandoni
Kitovu cha Ushairi, Washairi na Mashairi
Wanapoingia jandoni, ni tarajio la kila mtu kwamba watatoka wakiwa na hulka zinazoandamana na mienendo wa wanadamu wanaoithamini taathima. Je, huo ni ukweli? Soma shairi hili linalofafanua mengi. Upujufu Jandoni
“Waacheni hao watoto waje kwangu, wala msiwazuie; maana ufalme wa mbinguni ni wa watu walio kama watoto hawa.” Mungu Awapenda
Mama yako ndiye aliyekukopoa. Awapo hai, mshukuru kwa lolote lile. Shukran Mama
Yapaswa umshukuru mzazi wakati yu hai. Isingekuwa ni yeye hungekuwa katika ulimwengu huu. Mshukuru kwa lolote. Shukran Baba
Si jambo la busara kunidharau. Hujui kesho au hatima yangu. Usinidharau! Usinibeze! Usinidhulumu! Mbona Wanizaba Kofi