Fundi Usinipuuze
Kila mtu hujua vifaa vyake vya kazi. Fundi ana vyake. Je wavijua? Fundi Usinipuuze
Kitovu cha Ushairi, Washairi na Mashairi
Kila mtu hujua vifaa vyake vya kazi. Fundi ana vyake. Je wavijua? Fundi Usinipuuze
Ni vema kusikiliza waadhi kutoka kwa wakuu wako. Wasikilize na utende kwa mujibu na wanaokushauri, Haya Katu Siyapinge
Hulazimishwi kuamini. Abudu Mungu unayemwamini. Mshukuru Mungu kwa lolote maishani. Waaminio Amini
Watakutenga na wakudharau.Baki tu na Muumba wako. Muombe na umtegemee kwa lolote. Kama vile mama tasa huomba na kubarikiwa kupata mtoto. Usiye na Mwana
Usinidharau kwa sababu ya kazi yangu. Yawache yangu nami nisishughulike na yako. Tuwapo kazini, kila mtu ni kwa sababu ya riziki yake. Usinibeze