Kutwa Moja Utajuta
Usijifanye kasuku kuiga kila jambo. Yawache ya wengine. “Unavyopenda kuiga, kutwa moja utajuta” Kutwa Moja Utajuta
Kitovu cha Ushairi, Washairi na Mashairi
Usijifanye kasuku kuiga kila jambo. Yawache ya wengine. “Unavyopenda kuiga, kutwa moja utajuta” Kutwa Moja Utajuta
Wanavyotunga siku hizi ni ajabu! Wanayaita mashairi ila hayakubaliki kuwa mashairi. Njooni washairi mnieleze! Mashairi Gani Haya?
Huwi mswahili kwa kuzaliwa uswahilini. Tabia tu ndizo zitafanana lakini asili yako itabaki. Lisome shairi hili… Katu Huwi Mswahili
Arudhi katika fasihi ni sehemu muhimu katika elimu ya utunzi wa mashairi. Hasa arudhi inaelezea vipengele vya mashairi kama beti, idadi ya mishororo, vina na mizani. Shairi ni Arudhi
Ni wakati wa washairi kuwa makini ili kutetea fani ya ushairi. Wengine wametunga mengi yasiyofuata arudhi wakiyaita mashairi. “Pamoja tuunganeni, tuokoe ushairi.” Tuokoe Ushairi