Mwanagenzi Mtafiti
Jifunze mengi kuhusu ushairi wa Kiswahili. Sikiliza Mashairi yaliyotungwa kuburudisha, kuelimisha na kuchangamsha.
Historia ya Ushairi
Ni vigumu sana kuelezea wakati ushairi wa Kiswahili ulipoanza. Wapo baadhi ya watu wanoamini kuwa ushairi ulikuwepo tangu Karne Pili. Wapo pia wanaoamini kuwa ushairi ulianza mtu alipobuni lugha.
Sikiliza kipindi hiki uelewe kuhusu Historia ya Ushairi wa kiswahili.
—
Send in a voice message: https://podcasters.spotify.com/pod/show/mwanagenzi/message
Search Results placeholder