Nakupa Wangu Wasia
Tumaini la kila mzazi kwa mtoto ni kwamba atafaulu hatimaye. Hivyo basi, mzazi huwa na jukumu kubwa kumshauri mwanawe. Humrekebisha na kumwongoza kwa njia inayofaa bila kuchoka. Waadhi na Wasia wa kila mzazi! Nakupa Wangu Wasia
Kitovu cha Ushairi, Washairi na Mashairi
Tumaini la kila mzazi kwa mtoto ni kwamba atafaulu hatimaye. Hivyo basi, mzazi huwa na jukumu kubwa kumshauri mwanawe. Humrekebisha na kumwongoza kwa njia inayofaa bila kuchoka. Waadhi na Wasia wa kila mzazi! Nakupa Wangu Wasia
Afya! Afya! Afya! Ni muhimu sana katika maisha ya binadamu. Mshairi hapa alitunga shairi la kumtakia afueni mzazi wake. Ni dhahiri kwamba, hata mshairi angekosa fedha, hangekosa maneno haya yaliyo na uzito mkubwa… Upate Afueni
Mama yako ndiye aliyekukopoa. Awapo hai, mshukuru kwa lolote lile. Shukran Mama
Yapaswa umshukuru mzazi wakati yu hai. Isingekuwa ni yeye hungekuwa katika ulimwengu huu. Mshukuru kwa lolote. Shukran Baba