Huna Hadhi Huna Haki
Ya dunia yasikutishe. Tena usijidai na ulicho nacho. Usione una mali tele ukawadharau wengine. Jua wapo wenye mali na hadhi. “Huna hadhi huna haki, ina wenyewe dunia.” Huna Hadhi Huna Haki
Kitovu cha Ushairi, Washairi na Mashairi
Ya dunia yasikutishe. Tena usijidai na ulicho nacho. Usione una mali tele ukawadharau wengine. Jua wapo wenye mali na hadhi. “Huna hadhi huna haki, ina wenyewe dunia.” Huna Hadhi Huna Haki
Wapo walio na uwezo wa kuamba ila huogopa walumbi na magwiji wa kusema. Shairi hili linazinduaaliye na uwezo kwa kumppa ujasiri. Lumba Utifue Vumbi
Wapo baadhi ya watu ambao hawana hoja. Watarudia jambo moja kila siku bila ubunifu wowote. lisome shairi hili uelewe ukweli wenyewe. Hurudia ya Kitambo
Tenda wema nenda zako! Wakisema, waache waseme. Jitie hamnazo! Usikose kutenda yako kwa sababu ya adui asiyekufaa wala asiyekulisha. Iwapo anacho kinyongo, mwache akajinyonge! Akajitie Kitanzi
Wapo waotunga mashairi lakini jambo ni kwamba, wanatumia njia inayofaa? Washairi itawalazimu kukaa chini na kuzua mbinu zitakazoilinda fani hii kabla ya kuungua. Fimbo Niambie