Mashairi Gani Haya?
Wanavyotunga siku hizi ni ajabu! Wanayaita mashairi ila hayakubaliki kuwa mashairi. Njooni washairi mnieleze! Mashairi Gani Haya?
Kitovu cha Ushairi, Washairi na Mashairi
Wanavyotunga siku hizi ni ajabu! Wanayaita mashairi ila hayakubaliki kuwa mashairi. Njooni washairi mnieleze! Mashairi Gani Haya?
Ni wakati wa washairi kuwa makini ili kutetea fani ya ushairi. Wengine wametunga mengi yasiyofuata arudhi wakiyaita mashairi. “Pamoja tuunganeni, tuokoe ushairi.” Tuokoe Ushairi
Awapo nazo tungo, mshairi hataikosa riziki. Wengi hudharau ushairi wakisema haulipi. Shairi hili linampa moyo mshairi chipukizi na kumwelezea kuhusu ushairi unaolipa. Mshairi Hafi Njaa
Wapo baadhi ya watu ambao hawana hoja. Watarudia jambo moja kila siku bila ubunifu wowote. lisome shairi hili uelewe ukweli wenyewe. Hurudia ya Kitambo
Usijione unajua kutunga mashairi ukaona wengine hawawezi. Shairi hili linakemea majisifu. Subiri wengine wakusifu na waelezee kama wajua kutunga! Kutunga Kuna Nini?