Yesu Ndiye Njia
“Yesu akamwambia, Mimi ndimi njia, na kweli, na uzima; mtu haji kwa Baba, ila kwa njia ya mimi.” Yesu Ndiye Njia
Kitovu cha Ushairi, Washairi na Mashairi
“Yesu akamwambia, Mimi ndimi njia, na kweli, na uzima; mtu haji kwa Baba, ila kwa njia ya mimi.” Yesu Ndiye Njia
Zifuatazo ni Amri Kumi za Mungu:
1. Usiwe na miungu mingine ila mimi.
2. Usijifanyie sanamu ya kuchonga.
3. Usilitaje bure jina la BWANA, Mungu wako.
4. Ikumbuke siku ya Sabato uitakase.
5. Waheshimu baba yako na mama yako.
6. Usiue.
7. Usizini
8. Usiibe.
9. Usimshuhudie jirani yako uongo.
10. Usitamani…cho chote alicho nacho jirani yako.
Lisome shairi hili ambalo limetokana na hizi Amri Kumi za Mungu. Amri Kumi Za Mungu
“Walakini habari ya siku ile na saa ile hakuna aijuaye hata malaika walio mbinguni wala mwana ila Baba peke yake.” Siku Hiyo ya Kiama
Mwimbieni Mwenyezi-Mungu wimbo mpya! Mwimbieni Mwenyezi-Mungu, ulimwengu wote! Mwimbieni Mwenyezi-Mungu na kulisifu jina lake. Tangazeni kila siku matendo yake ya wokovu. Yatangazieni mataifa utukufu wake, waambieni watu wote matendo yake ya ajabu. Wimbo Nitacheza
“Waacheni hao watoto waje kwangu, wala msiwazuie; maana ufalme wa mbinguni ni wa watu walio kama watoto hawa.” Mungu Awapenda