Nakupa Wangu Wasia
Tumaini la kila mzazi kwa mtoto ni kwamba atafaulu hatimaye. Hivyo basi, mzazi huwa na jukumu kubwa kumshauri mwanawe. Humrekebisha na kumwongoza kwa njia inayofaa bila kuchoka. Waadhi na Wasia wa kila mzazi! Nakupa Wangu Wasia
Kitovu cha Ushairi, Washairi na Mashairi
Tumaini la kila mzazi kwa mtoto ni kwamba atafaulu hatimaye. Hivyo basi, mzazi huwa na jukumu kubwa kumshauri mwanawe. Humrekebisha na kumwongoza kwa njia inayofaa bila kuchoka. Waadhi na Wasia wa kila mzazi! Nakupa Wangu Wasia
Shairi hili linazungumzia kiu na hamu ya elimu inayomkumba mhusika mkuu. Anaeleza jinsi anavyotamani kupata vifaa vya shule, kama kalamu na vitabu, ili aweze kufuata ndoto zake za kusoma. Mhusika mkuu anasisitiza umuhimu wa elimu katika maisha yake, akiota ndoto za kuwa mtu wa maana katika jamii, labda hakimu au mbunge. Shairi hili linasisitiza thamani na umuhimu wa elimu kwa watoto na vijana, na jinsi elimu inavyoweza kubadilisha maisha yao kwa bora. Nataka Kwenda Shuleni
“Waacheni hao watoto waje kwangu, wala msiwazuie; maana ufalme wa mbinguni ni wa watu walio kama watoto hawa.” Mungu Awapenda
Kila mtu hujua vifaa vyake vya kazi. Fundi ana vyake. Je wavijua? Fundi Usinipuuze
Kupata taarifa ni mojawapo ya umuhimu wa Redio. Wengine huitumia kujiburudisha na wengine kusoma. Shairi hili linaelezea zaidi. Redio