Ahadi Zitimizeni
Raia anapomchagua kiongozi wake, huwa na matumaini kuwa atamwelekeza kwa njia inayofaa. Iwapo atahujumu haki ya waliomchagua, raia huwa na ghadhabu. Hebu litazama shairi hili… Ahadi Zitimizeni
Kitovu cha Ushairi, Washairi na Mashairi
Raia anapomchagua kiongozi wake, huwa na matumaini kuwa atamwelekeza kwa njia inayofaa. Iwapo atahujumu haki ya waliomchagua, raia huwa na ghadhabu. Hebu litazama shairi hili… Ahadi Zitimizeni
Wanapochagulia hujitenga na waliowachagua kwa lengo la kujinufaisha. Ufadhili wao hutoweka na hisani kuadimika. Kura Yangu Huipati
Tunapoelekea kwenye uchaguzi (Kenya), ni tumaini la kila mmoja kuwa hali ya utulivu na amani itakuwa. Wanasiasa wanaoshindwa watakubali na kuendelea na shughuli zao za maisha. Ukishindwa Ukubali
Jambo moja la msingi taifa kuendelea ni Amani. Wanasiasa watakuwa na maoni mbadala, ila hilo ndilo jambo la muhimu. Lisome hili shairi uelewe zaidi. La Muhimu ni Amani
Anapozuru nchini watu humsifu na kumumiminia swifa tele. Wasije kumwabudu kama ndiye mungu wao. furahia uhondo wa shairi hili… Kuzuru Kenya si Hoja