Achungwaye ni Ng’onzi
Mwanadamu hawezi kuchungwa kama kondoo. Ana yake mengi ya kufanya angaa apate riziki yake. Mwache atarazaki! Achungwaye ni Ng’onzi
Kitovu cha Ushairi, Washairi na Mashairi
Mwanadamu hawezi kuchungwa kama kondoo. Ana yake mengi ya kufanya angaa apate riziki yake. Mwache atarazaki! Achungwaye ni Ng’onzi
Aitwaye mwananchi wa kawaida ana haki zake? Na kama anazo, anazielewa kweli? Lisome hili shairi… Zipi Haki Zangu?