Ulishindwa ya Vitabu
Wasemavyo “Elimu ni mambo yote” ni sahihi. Kila jambo linalofanyika duniani hutegemea elimu. Walioko shuleni watie bidii. maisha yao itategemea elimu waliyoipata shuleni. Ulishindwa ya Vitabu
Kitovu cha Ushairi, Washairi na Mashairi
Wasemavyo “Elimu ni mambo yote” ni sahihi. Kila jambo linalofanyika duniani hutegemea elimu. Walioko shuleni watie bidii. maisha yao itategemea elimu waliyoipata shuleni. Ulishindwa ya Vitabu
Shairi hili linazungumzia kiu na hamu ya elimu inayomkumba mhusika mkuu. Anaeleza jinsi anavyotamani kupata vifaa vya shule, kama kalamu na vitabu, ili aweze kufuata ndoto zake za kusoma. Mhusika mkuu anasisitiza umuhimu wa elimu katika maisha yake, akiota ndoto za kuwa mtu wa maana katika jamii, labda hakimu au mbunge. Shairi hili linasisitiza thamani na umuhimu wa elimu kwa watoto na vijana, na jinsi elimu inavyoweza kubadilisha maisha yao kwa bora. Nataka Kwenda Shuleni
Waliosema masomo sio “Suruali” hawakuna na la kutafakari. Kwa sasa elimu ni mali na kila mtu ameuona umuhimu wake. Elimu Ni Mali
Mwanafunzi hapa anasifia hali yake ya mazoea. Kuamka na kuelekea shuleni kwa sababu moja tu; kutafuta elimu. Lisome shairi hili: Elimu Nimeipata
Visawe vya “Paa”. Kila ubeti na maana moja ya neno paa. Soma shairi hili ung’amue maana tano za “paa”. Maanake Paa