Hunalo la Afueni
Siha ni majaliwa. Uwapo mzima, shukuru Mungu. Yapo maradhi yasiyomsikia mgonjwa wa mganga. Tazama shairi hili… Hunalo la Afueni
Kitovu cha Ushairi, Washairi na Mashairi
Siha ni majaliwa. Uwapo mzima, shukuru Mungu. Yapo maradhi yasiyomsikia mgonjwa wa mganga. Tazama shairi hili… Hunalo la Afueni
Afya! Afya! Afya! Ni muhimu sana katika maisha ya binadamu. Mshairi hapa alitunga shairi la kumtakia afueni mzazi wake. Ni dhahiri kwamba, hata mshairi angekosa fedha, hangekosa maneno haya yaliyo na uzito mkubwa… Upate Afueni
Upungufu wa kinga mwilini ni jambo lililowatesa wengi. Hadi sasa, jambo hili limewaua wengi na wengine kuacha bila tumaini na maisha, kiasi cha kwamba kifo tu ndicho hatima. Bara la Kifo