Kipindi Cha Pili

(Kipindi cha Utasa)

Kipindi hiki ni miaka kati ya 1885 na 1945. Huu ulikuwa wakati wa utasa. Huu ulikuwa wakati wa ukoloni. Mashairi mengi yaliyotungwa katika kipindi hiki yalihusu utumwa na kujikomboa kutoka kwa wakoloni.
Baadhi ya waliotunga katika kipindi hiki ni kama:

Utenzi wa Vita vya Majimaji

Utenzi wa Abdirahman na Sufiyani (1939-1945) – Hemed Abdalla