Nifanyalo hulioni
Kunao baadhi ya watu hawapendezwi na chochote unachokifanya. Usivunjike moyo. Watakudharau tu leo lakini kesho watakuhitaji. Tenda wena nenda zako! Nifanyalo hulioni
Kitovu cha Ushairi, Washairi na Mashairi
Kunao baadhi ya watu hawapendezwi na chochote unachokifanya. Usivunjike moyo. Watakudharau tu leo lakini kesho watakuhitaji. Tenda wena nenda zako! Nifanyalo hulioni
Katika nyakati za ukoloni wengi waliteseka na kupoteza mali yao. Wakoloni hawakujali lolote au yeyote. Walitekeleza tendo lao la kuwanyanyasa Waafrika na kuwatumia tu kama chombo ili kujinufaisha. Mjoli Mtukutu