Vipande ni sehemu za mshororo ilivyogawanywa kwa alama ya kituo (,). Kila kipande kina jina lake kama inavyoelezewa hapa chini.
- Ukwapi – kipande cha kwanza katika mshororo.
- Utao – kipande cha pili katika mshororo
- Mwandamo – kipande cha tatu katika mshororo
- Ukingo – kipande cha nne katika mshororo