Binadamu wa Ukweli
Usimdharau mwenzako. Jua hata yeye ni binadamu kama wewe. Ana haki kama zako. Mfanyie lile ungependa mwingine akufanyie. Binadamu wa Ukweli
Kitovu cha Ushairi, Washairi na Mashairi
Usimdharau mwenzako. Jua hata yeye ni binadamu kama wewe. Ana haki kama zako. Mfanyie lile ungependa mwingine akufanyie. Binadamu wa Ukweli
Usinidharau kwa sababu ya kazi yangu. Yawache yangu nami nisishughulike na yako. Tuwapo kazini, kila mtu ni kwa sababu ya riziki yake. Usinibeze
Usinibague kwa hali yangu. Aliye na uwezo na kunijua sana ni Mungu aliyeniumba. Yawache yangu na ukome kunibekua! Ubekuzi Wa Nini?