Kitukuzwe Kiswahili
Iweje huifahamu wala kuishabikia lugha ya taifa ulikozaliwa? Iweje ukiabudu lugha za kigeni bila kuithamini lugha yako ya msingi? Kitukuzwe Kiswahili, lugha yetu tuikuze. Kitukuzwe Kiswahili
Kitovu cha Ushairi, Washairi na Mashairi
Iweje huifahamu wala kuishabikia lugha ya taifa ulikozaliwa? Iweje ukiabudu lugha za kigeni bila kuithamini lugha yako ya msingi? Kitukuzwe Kiswahili, lugha yetu tuikuze. Kitukuzwe Kiswahili
Kabla ya kuzikuza lugha za kigeni, anzia ya kwenu. Ipende lugha yako kama kuliko unavyozipenda za kigeni. Ufasaha Tuukuze
Gazeti la Taifa Leo nchini Kenya limekuwa katika mstari wa kwanza kukuza Kiswahili na kuwapa motisha washairi chipukizi. Hili hapa shairi la kusifia gazeti hilo. Napongeza Taifa Leo
Lahaja za Kiswahili hutofautishwa kulingana na maeneo yake kama Kiunguja (kisiwani Zanzibar) ambacho kimekuwa msingi wa Kiswahili Sanifu, Kimvita (eneo la “Mvita” au Mombasa mjini, Kenya), ambacho zamani kilikuwa lahaja kubwa ya pili pamoja na Kiunguja, Kiamu (kisiwani Lamu, Kenya) na kadhalika. Lahaja Sineni
Visawe vya “Paa”. Kila ubeti na maana moja ya neno paa. Soma shairi hili ung’amue maana tano za “paa”. Maanake Paa