Nakupa Wangu Wasia
Tumaini la kila mzazi kwa mtoto ni kwamba atafaulu hatimaye. Hivyo basi, mzazi huwa na jukumu kubwa kumshauri mwanawe. Humrekebisha na kumwongoza kwa njia inayofaa bila kuchoka. Waadhi na Wasia wa kila mzazi! Nakupa Wangu Wasia
Kitovu cha Ushairi, Washairi na Mashairi
Tumaini la kila mzazi kwa mtoto ni kwamba atafaulu hatimaye. Hivyo basi, mzazi huwa na jukumu kubwa kumshauri mwanawe. Humrekebisha na kumwongoza kwa njia inayofaa bila kuchoka. Waadhi na Wasia wa kila mzazi! Nakupa Wangu Wasia
Watakutenga na wakudharau.Baki tu na Muumba wako. Muombe na umtegemee kwa lolote. Kama vile mama tasa huomba na kubarikiwa kupata mtoto. Usiye na Mwana