Majonzi Daima
Mtoto yatima hupitia mengi maishani. Wakati mwingine huona kama hajapendwa. Husononeka na kuudhika bila kuwa na kumfariji, Majonzi Daima
Kitovu cha Ushairi, Washairi na Mashairi
Mtoto yatima hupitia mengi maishani. Wakati mwingine huona kama hajapendwa. Husononeka na kuudhika bila kuwa na kumfariji, Majonzi Daima
Waliosema masomo sio “Suruali” hawakuna na la kutafakari. Kwa sasa elimu ni mali na kila mtu ameuona umuhimu wake. Elimu Ni Mali
Mwanafunzi hapa anasifia hali yake ya mazoea. Kuamka na kuelekea shuleni kwa sababu moja tu; kutafuta elimu. Lisome shairi hili: Elimu Nimeipata