Kitukuzwe Kiswahili
Iweje huifahamu wala kuishabikia lugha ya taifa ulikozaliwa? Iweje ukiabudu lugha za kigeni bila kuithamini lugha yako ya msingi? Kitukuzwe Kiswahili, lugha yetu tuikuze. Kitukuzwe Kiswahili
Kitovu cha Ushairi, Washairi na Mashairi
Iweje huifahamu wala kuishabikia lugha ya taifa ulikozaliwa? Iweje ukiabudu lugha za kigeni bila kuithamini lugha yako ya msingi? Kitukuzwe Kiswahili, lugha yetu tuikuze. Kitukuzwe Kiswahili
Shairi hili linatukumbusha na kutuombea kumkumbuka Profesa Ken Walibora, ambaye alikuwa mwandishi hodari. Profesa Walibora alikuwa shujaa wa lugha yetu, ambaye aliweza kuwasilisha ujumbe wake kwa ustadi wa hali ya juu na kwa lugha ya Kiswahili. Shairi hili linamuenzi kwa kazi yake kubwa na kwa ujuzi wake mkubwa katika fasihi ya Kiswahili, na kwa mchango wake katika kuendeleza lugha hii ya Kiafrika.
Twamkumbuka Walibora
Si kila wakati utanunua vifaa unavyohitaji. Wakati mwingine utajifunza jinsi ya kuviunda mwenyewe. Najifunza Kufinyanga
Wanapochagulia hujitenga na waliowachagua kwa lengo la kujinufaisha. Ufadhili wao hutoweka na hisani kuadimika. Kura Yangu Huipati
Siha ni majaliwa. Uwapo mzima, shukuru Mungu. Yapo maradhi yasiyomsikia mgonjwa wa mganga. Tazama shairi hili… Hunalo la Afueni