Nakupa Wangu Wasia
Tumaini la kila mzazi kwa mtoto ni kwamba atafaulu hatimaye. Hivyo basi, mzazi huwa na jukumu kubwa kumshauri mwanawe. Humrekebisha na kumwongoza kwa njia inayofaa bila kuchoka. Waadhi na Wasia wa kila mzazi! Nakupa Wangu Wasia
Kitovu cha Ushairi, Washairi na Mashairi
Tumaini la kila mzazi kwa mtoto ni kwamba atafaulu hatimaye. Hivyo basi, mzazi huwa na jukumu kubwa kumshauri mwanawe. Humrekebisha na kumwongoza kwa njia inayofaa bila kuchoka. Waadhi na Wasia wa kila mzazi! Nakupa Wangu Wasia
Wakati mwigine huwa tunakosa maneno ya kutosha kuwaambia tuwapendao. Tunapokosa kuwapasha, huonekana kama tumewapuuza tu. Kwa beti tano tu hapa, ujumbe umefika. Una Mengi Kupendeka
Mandhari Yapendeza. Ni shairi la msuko linaloisifia mandhari na kumsifu Mungu kwa kuipamba. Mandhari Yapendeza
Furaha huwa furaha wakati unaohitajika. Huwi na furaha kulazimishwa ila ni jambo linalotokana na mawazo yako. Bongo Zikichangamka
Hamna haja ya kuzua vurugu kila wakati unapokosa tokeo ulilolisubiri. Wakati mwingine inabidi kutulia na kunyamaza. Sitandishi Vurumai