Najifunza Kufinyanga
Si kila wakati utanunua vifaa unavyohitaji. Wakati mwingine utajifunza jinsi ya kuviunda mwenyewe. Najifunza Kufinyanga
Kitovu cha Ushairi, Washairi na Mashairi
Si kila wakati utanunua vifaa unavyohitaji. Wakati mwingine utajifunza jinsi ya kuviunda mwenyewe. Najifunza Kufinyanga
Wakati mwingine matukio huwa ni kinyume kabisa kuliko tunavyotegemea. Tunapoiona ishara ya mvua, si lazima mvua ikanyesha. Hivyo basi, tusiliweke tumaini kwa jambo moja tu, huenda ukafa moyo linapokosa kutimia. Si Lazima Itanyesha
Ya dunia yasikutishe. Tena usijidai na ulicho nacho. Usione una mali tele ukawadharau wengine. Jua wapo wenye mali na hadhi. “Huna hadhi huna haki, ina wenyewe dunia.” Huna Hadhi Huna Haki
Wapo baadhi ya watu wasiopendezwa na utu. Hutenda kinyume cha matakwa ya binadamu. Anapotenda, jamii humgeuka na kumtendea, kijasho kikamtoka. Litazame shairi hili… Kijacho Kinapokuja
Aliye na uwezo wa kufumbua ndiye gwiji. Fumbo si kusema tu. Fumbo si kufumba tu. Fumbo ni kufumbua. Fumbo ni Kufumbua