Huna Hadhi Huna Haki
Ya dunia yasikutishe. Tena usijidai na ulicho nacho. Usione una mali tele ukawadharau wengine. Jua wapo wenye mali na hadhi. “Huna hadhi huna haki, ina wenyewe dunia.” Huna Hadhi Huna Haki
Kitovu cha Ushairi, Washairi na Mashairi
Ya dunia yasikutishe. Tena usijidai na ulicho nacho. Usione una mali tele ukawadharau wengine. Jua wapo wenye mali na hadhi. “Huna hadhi huna haki, ina wenyewe dunia.” Huna Hadhi Huna Haki
Wanapogoma, wataharibu mali na chochote kilicho karibu nao. Watachoma gari, kuiba na kuchukiza wananchi. Wanafunzi wana mengi, ya kila aina. Wanafunzi Wakigoma
Wapo baadhi ya watu wasiopendezwa na utu. Hutenda kinyume cha matakwa ya binadamu. Anapotenda, jamii humgeuka na kumtendea, kijasho kikamtoka. Litazame shairi hili… Kijacho Kinapokuja
Shairi hili lilitungwa mwaka wa 2018 wakati elimu mfumo mpya ulianza. Je, mfumo wenye waendeleaje? Elimu Mfumo Mpya
Je, umewahi kufikiria nchi bila ukabila, ubaguzi au uhasama? Wakati nchi yetu itakuwa na amani ndivyo wazalendo wataifurahia haki yao na kupendezwa na uzalendo wao. Tuudumishe Umoja