Lumba Usiwe U Bubu
Usibaki kunyamza. Nena tu neno moja. Bubu hana uwezo wa kusema. Wewe unaweza. Sema tu neno moja. Lumba Usiwe U Bubu
Kitovu cha Ushairi, Washairi na Mashairi
Usibaki kunyamza. Nena tu neno moja. Bubu hana uwezo wa kusema. Wewe unaweza. Sema tu neno moja. Lumba Usiwe U Bubu
Shairi hili linasisitiza umuhimu wa kutenda mambo ya maana kwa bidii na kwa upendo ili kuleta amani na ustawi katika jamii. Linawataka watu kutenda kwa uaminifu na kuwa na heshima kwa wengine, na kufuata maadili na nidhamu katika kila jambo wanalofanya. Litende Hilo Litende
Wapo walio na uwezo wa kuamba ila huogopa walumbi na magwiji wa kusema. Shairi hili linazinduaaliye na uwezo kwa kumppa ujasiri. Lumba Utifue Vumbi
Aliye na uwezo wa kufumbua ndiye gwiji. Fumbo si kusema tu. Fumbo si kufumba tu. Fumbo ni kufumbua. Fumbo ni Kufumbua
“Kisha akawaambia, Nendeni zenu, mle kilichonona, na kunywa kilicho kitamu, tena mpelekeeni sehemu yeye asiyekuwa na kitu; maana siku hii ni takatifu kwa BWANA wetu; wala msihuzunike; kwa kuwa furaha ya BWANA ni nguvu zenu.” Furaha ya Bwana