Leo tu nina uhai
Ya kesho ni ya Mungu. Hujui wakati na wasaa wa kifo chako. Hivyo basi tegemea Mungu muumba wako kwa vyovyote vile. Anao uwezo wa kukulinda na kukuweka hai. Leo tu nina uhai
Kitovu cha Ushairi, Washairi na Mashairi
Ya kesho ni ya Mungu. Hujui wakati na wasaa wa kifo chako. Hivyo basi tegemea Mungu muumba wako kwa vyovyote vile. Anao uwezo wa kukulinda na kukuweka hai. Leo tu nina uhai