Mcheka Kilema
Usimcheke kilema! Si kutaka wala kupenda kwake. Uonapo u mzima shukuru Mungu. Hujui linalokusubiri. Afya ni majaliwa ya Mungu! Mcheka Kilema
Kitovu cha Ushairi, Washairi na Mashairi
Usimcheke kilema! Si kutaka wala kupenda kwake. Uonapo u mzima shukuru Mungu. Hujui linalokusubiri. Afya ni majaliwa ya Mungu! Mcheka Kilema