Ujuvi Wake Waudhi
Hukosi mjuaji. Kila jambo analijua. “Ujuvi wake waudhi, hakunalo halijuwi!” Ujuvi Wake Waudhi
Kitovu cha Ushairi, Washairi na Mashairi
Hukosi mjuaji. Kila jambo analijua. “Ujuvi wake waudhi, hakunalo halijuwi!” Ujuvi Wake Waudhi
Unapotembea na kushirikiana na mui, bila shaka hulka yako haitakuwa tofauti. Ukitaka mienendo mizuri, hakikisha unaoshirikiana nao pia ni wema. Mbasi wa Mdukizi
Wanapoingia jandoni, ni tarajio la kila mtu kwamba watatoka wakiwa na hulka zinazoandamana na mienendo wa wanadamu wanaoithamini taathima. Je, huo ni ukweli? Soma shairi hili linalofafanua mengi. Upujufu Jandoni
Usimdharau mwenzako. Jua hata yeye ni binadamu kama wewe. Ana haki kama zako. Mfanyie lile ungependa mwingine akufanyie. Binadamu wa Ukweli