Yesu Ndiye Njia
“Yesu akamwambia, Mimi ndimi njia, na kweli, na uzima; mtu haji kwa Baba, ila kwa njia ya mimi.” Yesu Ndiye Njia
Kitovu cha Ushairi, Washairi na Mashairi
“Yesu akamwambia, Mimi ndimi njia, na kweli, na uzima; mtu haji kwa Baba, ila kwa njia ya mimi.” Yesu Ndiye Njia
Zifuatazo ni Amri Kumi za Mungu:
1. Usiwe na miungu mingine ila mimi.
2. Usijifanyie sanamu ya kuchonga.
3. Usilitaje bure jina la BWANA, Mungu wako.
4. Ikumbuke siku ya Sabato uitakase.
5. Waheshimu baba yako na mama yako.
6. Usiue.
7. Usizini
8. Usiibe.
9. Usimshuhudie jirani yako uongo.
10. Usitamani…cho chote alicho nacho jirani yako.
Lisome shairi hili ambalo limetokana na hizi Amri Kumi za Mungu. Amri Kumi Za Mungu
Awapo nazo tungo, mshairi hataikosa riziki. Wengi hudharau ushairi wakisema haulipi. Shairi hili linampa moyo mshairi chipukizi na kumwelezea kuhusu ushairi unaolipa. Mshairi Hafi Njaa
Wasemavyo “Elimu ni mambo yote” ni sahihi. Kila jambo linalofanyika duniani hutegemea elimu. Walioko shuleni watie bidii. maisha yao itategemea elimu waliyoipata shuleni. Ulishindwa ya Vitabu
Anapozuru nchini watu humsifu na kumumiminia swifa tele. Wasije kumwabudu kama ndiye mungu wao. furahia uhondo wa shairi hili… Kuzuru Kenya si Hoja