Elimu Nimeipata
Mwanafunzi hapa anasifia hali yake ya mazoea. Kuamka na kuelekea shuleni kwa sababu moja tu; kutafuta elimu. Lisome shairi hili: Elimu Nimeipata
Kitovu cha Ushairi, Washairi na Mashairi
Mwanafunzi hapa anasifia hali yake ya mazoea. Kuamka na kuelekea shuleni kwa sababu moja tu; kutafuta elimu. Lisome shairi hili: Elimu Nimeipata
Visawe vya “Paa”. Kila ubeti na maana moja ya neno paa. Soma shairi hili ung’amue maana tano za “paa”. Maanake Paa
Aitwaye mwananchi wa kawaida ana haki zake? Na kama anazo, anazielewa kweli? Lisome hili shairi… Zipi Haki Zangu?
Ya kesho ni ya Mungu. Hujui wakati na wasaa wa kifo chako. Hivyo basi tegemea Mungu muumba wako kwa vyovyote vile. Anao uwezo wa kukulinda na kukuweka hai. Leo tu nina uhai
Kuna baadhi ya wazee ambao hawapendi kamwe kuitwa wazee. Wangali bado hawajakubali kuwa uzee umewateka nyara na watotako kwa ujana hawarudi kamwe. Usimwite Nyanya